February 12, 2018


Klabu ya Bayern Munich imeingia mkataba na hoteli maarufu ya Courtyard by Marriott kutengeneza vyumba ambavyo vitawawezesha baadhi ya mashabiki wake kushuhudia mechi zake kwenye Uwanja wa Allianz Arena wakiwa kitandani.

Hoteli hiyo itajenga uwanja huo ambao sehemu ya vyumba vyake vitakuwa vikiangalia sehemu ya uwanja huo.


Hivyo watakaopanga, pamoja na kupata huduma ya kulala, watakuwa wakipata nafasi ya kuangalia mechi uwanjani hapo wakiwa vyumbani mwao.


1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic