March 3, 2018


Na George Mganga

Kikosi cha Azam FC kimeutumia vema Uwanja wake wa nyumbani kwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Singida United.

Katika mchezo huo uliopigwa kwenye dimba la Azam Complex, dakika 90 zilimazilikwa kwa kushuhudia bao moja pekee likiwekwa kimiani.

Mfungaji wa bao hilo alikuwa ni Joseph Mahundi aliyefunga katika dakika ya 16 ya kipindi cha kwanza

Matokeo hayo yanaiweka Azam kwenye nafasi ya 4 ya msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa kufikisha alama 38 nyuma ya Yanga iliyo na 40.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic