Elneny aliumia katika mchezo wa ligi kuu England wakati timu yake ilipokutana na West Ham kwenye Uwanja wa Emirates.
Mchezaji huyo bora nchini England kwa msimu wa 2017/18 aliwahi kucheza sambamba na Elneny wakati wakiwa wanaitumikia FC. Basel ya Uswizi.
Katika mchezo huo, Arsenal ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya West Ham United.








0 COMMENTS:
Post a Comment