July 16, 2018


Mkongwe Juma Nature akiimba na mashabiki



Nature akikamua Wimbo wa Sonia
Nature akiingia kwa shangwe akiwapa mkono mashabiki wake
Nature akiamsha shangwe jukwaani
Mashabiki waiofurika wakimsikiliza Nature kwa makini akiimba baadhi ya viitikio vya nyimbo zake
Nature akiwa na Kundi la Wanaume TMK wakikamua jukwaani
Nature akiimba Kighetogheto
MKONGWE wa Muziki wa Bongo Fleva, Juma Nature amefanya maajabu katika Uwanja wa Taifa wa Burudani baada ya kuingia jukwaani na kuwakubusha mashabiki wake kwa kupiga nyimbo zake zote kali kuanzia Sonia, Kighetogheto na nyingine kibao.


Katika shoo hiyo ambayo inatambulika kama Tusua Maisha na Global yenye lengo la kuwashukuru wasomaji wake kuwa pamoja, Nature alianza kwa kupanda kumpa zawadi ya pikipiki washindi wa pili na wa tatu wa droo ya Tusua Maisha na Global.


PICHA: RICHARD BUKOS

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic