Mabingwa wa Soka Tanzania, Simba wameondoka nchini leo kwenda Uturuki.
Simba imeondoka leo alfajiri kwa ajili ya kambi nchini Uturuki.
Kikosi hicho kitaongozwa na Kocha Patrick Aussems raia wa Ubelgiji.
Kabla ya leo, jana jioni, kundi la kwanza la Simba liliondoka kwenda Uturuki pia likiongozwa na Kocha Msaidizi, Masoud Djuma.
Safari njema kwani kibao kimegeuka ile habari yakusema Simba ni wa matopeni zilikuwa ni kauli za kilimbukeni kwani hakuna asiejua yakuwa Simba ndie muakilishi halisi wa Tanzania kwenye gemu za kimataifa.
ReplyDeleteIla simba wawe makini wasije rudia hali mbaya kiuchumi
DeleteAsante simba fc
ReplyDeleteBig up SSC leadership,Mo Dewji players and the entire technical bench.We all support you.
ReplyDeleteHongera Sana Chama langu wekundu WA msimbazi kila LA heri na Safari njema
ReplyDeleteHayo ndiyo tunataka kwa timu kufanya maandaliazi. Simba wamekwenda Uturuki, Azam FC wanakwenda Uganda, Prisons sijui Sumbawanga au Zanzibar ili kujiweka fiti kwenye ligi ambayo inaonekana ushindani umeongezeka baada ya Stand United "Chama la Wana", kusajili wachezaji 10 wa kigeni. Kazi ipo.
ReplyDeleteProtas-Iringa