August 9, 2018



Mkurugenzi wa Utawala na Udhibiti SportPesa Tanzania Tarimba Abbas akiambatana na Mkuu wa masoko bwana Kelvin Twissa wakikabidhi hundi ya shilingi milioni hamsini kwa raisi wa klabu ya Simba na Waziri wa Mambo ya Ndani,  Kangi Lugora  kwa kuwa washindi wa pili wa mashindano ya Kagame Cup siku ya Simba Day.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic