August 9, 2018



African Lyon imeanza maandalizi ya msimu mpya chini ya Kocha Mpya kutoka nchini Ufaransa.

Kocha huyo, Succoia Lwanel tayari ameanza kukinoa kikosi hicho.

Imeelezwa kocha huyo anatarajia kutambulishwa leo jijini Dar es Salaam.

1 COMMENTS:

  1. Yale yale! ya Lyon kuleta wazungu mwisho wa siku kushuka daraja.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic