September 25, 2018


Boti zikiendelea kuingizwa ndani ya Ziwa Victoria katika eneo la tukio kuongeza nguvu ya kukinasua kivuko cha MV Nyerere kilichozama Septemba 20 mwaka huu katika kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe jijini Mwanza.

Zoezi la kukinasua kivuko cha MV Nyerere lilianza jana na leo linaendelea ambapo vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama ndio vinasimamia zoezi hilo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic