Kocha aliyewahi kusema anapenda zaidi sifa kuliko pesa, ameibuka na kufunguka hayo baada ya kukosa nafasi hiyo msimu wa mwisho wa Ligi Daraja la Kwanza.
Julio ameeleza kuwa haoni tena nafasi ya yeye kuendelea kuwa Kocha kama atashindwa kuipelekea Dodoma FC kwenye ligi msimu ujao.
Kocha huyo ambaye amewahi kuwa Msaidizi katika klabu ya Simba na mara mwisho akiwa na King Kibaed Mputa, ameamua kuweka hadharani malengo yake akiwa na Dodoma FC na endapo timu isipopanda daraja ataacha rasmi kazi hiyo.








Acheni kuiba picha za Simba kuwasilisha mada isuowahusu ni uandishi gani huu?
ReplyDeletesaleh naona umechoka mbona uwandishi wako haueleweki
ReplyDeleteJinga tu hili liandishi. Halina hata chembe ya maadili ya uandishi wa habari.
ReplyDeleteJiheshimu mkuu! Tunapenda hii blog ila Kwa hizi habari za kindezi tutaanza kuhama! Title : KOCHA SIMBA KUJIENGUA halafu ndani habari inamuhusu kihwelu huo huo si upimbi
ReplyDelete