RATIBA YA MECHI ZA LIGI KUU BARA LEO SEPTEMBA 23 2018
Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kushika kasi tena leo kwa jumla ya viwanja vinne kuwaka moto.
Mabingwa watetezi Simba waliokosa bahati Alhamis ya wiki hii kwenye Uwanja wa CCM Kirumba kwa kufungwa bao 1-0 na Mbao, watakuwa Kambarage Shinyanga kucheza na Mwadui FC.
Halikadhalika watani zao wa jadi Yanga watakuwa Uwanja wa Taifa majira ya saa 1 za usiku kucheza dhidi ya Singida United.
Ratiba kamili hii hapa
0 COMMENTS:
Post a Comment