September 6, 2018

Kikosi cha Taifs Stars, kimetua salama nchini Uganda tayari kuwavaa wenyeji wake, The Cranes watakaoongozwa na Emmanuel Okwi.

Taifa Stars inaongozwa na nahodha wake, Mbwana Samatta ambaye anakipiga katika klabu ya KRC Genk.

Mechi hiyo inapigwa keshokutwa jijini Kampala na Stars inawania kufuzu kucheza Afcon. 



Maandalizi ya awali ya kikosi hicho yalifanyika jijini Dar es Salaam chini ya benchi la ufundi linaloongozwa na Mnigeria, Emmanuel Amunike.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic