Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetoa orodha ya achezaji watatu waliongia kwenye hatua ya mwisho ya kuwania tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa FIFA 2017/18.
Katika orodha hiyo, kwa mara ya kwanza jila la nyota wa FC. Barcelona na timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi limekosekana.
Waliongia ni
1. Mohammed Salah - Misri/Liverpool
2. Cristiano Ronaldo - Ureno/Real Madrid
3. Luka Modric- Croatia/Real Madrid
0 COMMENTS:
Post a Comment