October 9, 2018


Serikali imewaomba  watazania kuendelea kujitokeza Kwenda nchini Cape Verde kuishangilia  timu ya taifa ya Tanzania,Taifa stars 

Akizungumza na wandishi wa habari jinin Dar es salaam Mkurugenzi wa maendeleo ya michezo nchini Yusuph Singo amesema bado nafasi ipo wazi kwa watanzania kusafiri na timu kesho kuelekea Cape Verde.

Kwa upande wake makamu wa raisi wa TFF amewatoa hofu watanzania kuhusiana na maandalizi ya mchezo huo.

Stars itaondoka kesho saa tano usiku na ndege ya serikali kuelekea nchini Cape Verde na itashuka dimbani kuwakabili wenyeji hao oktoba 12.

4 COMMENTS:

  1. Video zako hazi support mobile phone view rekebisha

    ReplyDelete
  2. Kuwa makini na uandishi
    wako,watakaondoka wapo wapi?

    ReplyDelete
  3. Acha uhuni mkuu,hao wanaoondoka hujawataja,huo ni wizi wa bando kama wizi mwingine,kumbuka unaotufanyia hvi ndio wateja waako tunaotembelea web yako kila siku.

    ReplyDelete
  4. Mambo yenyewe ni mkatomkato ovyoovyo sukuma twende almuradi anapokea chake inatosha

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic