October 13, 2018

3 COMMENTS:

  1. Manara kakamatwa.Ni msemaji wa Simba na kiongozi wao wa kazi alioajiriwa kuifanaya ya kuwapasha wanasimba nini kinaendelea kuhusiana na mustakabadhi wa Simba kapotea na hakuna dalili ya majibu rasmi nini kinaendelea juu ya upotevu wake. Tunajua Manara anaushawishi mkubwa ndani ya mashbikki wa Simba labda kutokana na ukweli huo wa ushawishi wake wenye nguvu wa kusema kitu na kusikilizwa na maahabiki wa Simba ndio sababu ya Manara kakamatwa kuepusha kuja kusema kitu kitakachoweza kuwajaza munkari mashabiki wa Simba na kufanya vurugu ila watanzania hawahitaji Manara kukamatwa wanahitaji kupatikana kwa Mo na kila siku zinavyokwenda bila majibu ndivyo ustahamilivu wa wanasimba na wananchi unazidi kufifia. Manara akisema kitu kuhusiana na Mo haisemei familia bali anafanya kazi yake iliyomueka Simba.

    ReplyDelete
  2. Wako wapi hao walioshikiliwa na police?

    ReplyDelete
  3. Wako wapi hao walioshikiliwa na police?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic