October 13, 2018


Kocha Mkuu wa Simba Patrick Aussems amesema sifa ambazo anataka awe nazo kocha msaidizi ambaye atakua naye katika kuendeleza kikosi cha Simba hatimae kutetea Ubingwa wake.

Mr Patrick amesema kikosi cha Simba kinahitaji mwalimu msaidizi ambae atakua mzoefu wa Ligi na kuweza kuwahamasisha wachezaji kufanya vizuri na kubakiza ubingwa katika klabu yao.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic