Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amelikemea tukio linaloonekana katika video ambalo linamuonesha mchezaji wa Alliance akimuwekea kidole makalioni Gadiel Michael wa Yanga.
Manara nakuunga mkono katika hili,kwa kweli umeenda mbali zaidi na kuonesha ni jinsi gani unastahili kuwafunza weledi vijana wa siku hizi maana sasa uhuni wa kijinga unazidi kutamalaki katika soka letu,umeonesha kuwa wewe ni kaka unayestahili kusimamia nidhamu ya wadogo zako katika tasnia ya soka bila kujali ushabiki
SAWA sheria ichukue mkondo wake na iwe MSUMENO kuna masuala ya kinidhamu ni kama yanafumbiwa macho
ReplyDeleteManara nakuunga mkono katika hili,kwa kweli umeenda mbali zaidi na kuonesha ni jinsi gani unastahili kuwafunza weledi vijana wa siku hizi maana sasa uhuni wa kijinga unazidi kutamalaki katika soka letu,umeonesha kuwa wewe ni kaka unayestahili kusimamia nidhamu ya wadogo zako katika tasnia ya soka bila kujali ushabiki
ReplyDelete