March 28, 2019


Kipindi cha Spoti Hausi leo kipo tena hewani ambapo wachambuzi wako watakuwa wakikuletea uchambuzi mbalimbali kuhusu kufuzu kwa Stars kwenye Kombe la Mataifa Afrika, maandalizi ya Simba ya mechi ya Simba na TP Mazembe.

Lakini pia kuna ukweli gani juu ya mshambuliaji wa Gor Mahia, Tuyisenge ambaye anatajwa kuwa hapa nchini kwa ajili ya kujiunga na Simba.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic