April 9, 2019


Wachezaji watatu wa timu ya Azam FC wamekutana na rungu la Bodi ya Ligi kwa kusimamishwa michezo mitatu na faini kiasi cha shilingi 500,000.

Faini hiyo imekuja kutokana na kosa la kumzonga Mwamuzi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya wenyeji Coastal Union dhidi ya Azam FC huko Tanga

Wachezaji waliokumbwa na rungu hilo ni Ramadhani Singano, Tafazwa Kutinyu na Stephan Kingue Mpondo.


1 COMMENTS:

  1. Huu ni uonevu. Kuna timu inapiga marefa licha ya kuzonga lakini hatua hazichukuliwi. Azsm wacheni kuwa wastaarabu mtaburuzwa kwa faida ya timu fulani.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic