UONGOZI wa Yanga umeamua kuanza kazi kwa vitendo ambapo tayari wameanza kuongeza mikataba ya wachezaji ambao wamekidhidi vigezo kwa ajili ya kuwatumia msimu ujao.
Leo Kiungo fundi wa Yanga, Papy Tshishimbi amesaini mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuendelea kuitumikia timu hiyo yenye maskani yake Jangwani.
Tshishimbi msimu huu alianza kwa kuchechemea baada ya Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera akamchana kwamba hajitumi ndipo alipoongeza juhudi na mpaka sasa ametupia jumla ya mabao 4 ndani ya kikosi cha Yanga.
0 COMMENTS:
Post a Comment