RAIS FIFA AIPONGEZA SIMBA KUTWAA UBINGWA Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), ameipongeza Simba kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu
km angelijua madudu yanayotendeka asingepongeza,lkn xhukran tu upo mbali
ReplyDeleteHuko ndio kupanda Kwa Mnyama kimataifa Wengi wataumia. Mmoja alisibika na maradhi makubwa yaliyopelekea kifo chake na sababu ya maradhi hayo ni pale alipogunduwa mafanikio ya jirani yake
ReplyDelete