BERNARD Morrison nyota wa Simba kwa mwezi Oktoba amekuwa na majanga yake ya kipekee ambapo rekodi zinaonyesha kuwa amekuwa ni mchezaji anayechezewa faulo nyingi na mwanzilishi wa ugomvi pia.
Kwenye mchezo kati ya JKT Tanzania na Simba uliochezwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma wakati Simba ikishinda mabao 4-0 alimkunja mchezaji baada ya kuchezewa faulo na Kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons wakati Simba ikikutana na balaa la kichapo cha bao 1-0 alichezewa faulo zaidi ya mbili pia alikutana na mkono wa Salum Kimenya kiraka wa Tanzania Prisons.
Wakati Simba ikifungwa bao 1-0 alimpiga ngumi Juma Nyosso na wote wamepewa adhabu, maamuzi mengine haya hapa:-
mwaka wake
ReplyDeleteSiku Hizi hapandi Mipiraππππ
ReplyDeleteUsijali atakupanda wewe
DeleteAnaanzaje kupanda mpira kwa mfano!
ReplyDeleteYaaani tifuatifua hii ya msomalia was nguruka shida kwelu....yaani adhabu ya kukanyaga Tena kwa bahati mbaya ya nyosso inakuwa sawa ya adhabu ya mwakinyo ya kumdunda mtu mangumi......tutaona mengi awamu hii
ReplyDeleteUtopolo furaha yao ni kama umeme wa LUKU muda si mrefu utasikia wanaanza kuindandama TFF inaipendelea xaxa hiv tunaawacha muongeee weee lakini tunajua muda ukifika mvua zikianza kunyesha tuasikia krooo krooo krooo chura fc
ReplyDelete