YOUNG THUNG AFYATULIWA RISASI NA MTU ASIYEJULIKANA
RAPA Mmarekani, Young Thug, amenusurika kifo baada ya mtu asiyejulikana kufyatua risasi karibu naye.
Polisi wamethibitisha kutokea kwa jaribio hilo huko Miami wakati Thug akiendesha gari aina Ferrari kwenye msafara wa mabasi yaliyokuwa yanaelekea kwenye ziara yake, yeye na timu yake ambapo mtu huyo asiyejulikana alifyatua risasi ambapo watu watatu walipata majeraha madogo.
0 COMMENTS:
Post a Comment