KUMBE WAARABU KWA YANGA WEPESI KABISA, UONGOZI WAFICHUA SIRI YA USHINDI OKTOBA 27
Nimewatizamaa hao jamaa naona ni timu ya kawaida ambayo inafungika pia.
Kitu muhimu kwetu ni maandalizi ya kutosha, kila mmoja awajibike kwenye eneo lake, tuna kila sababu ya kushinda mchezo wa kwanza tarehe 27/10 kisha tukamalizie shughuli huko kwao.
Wananchi / wenye nchi ndiyo sisi wale wengine wahamiaji tu wasitutingishe..! Kabiiiisa
0 COMMENTS:
Post a Comment