January 30, 2020


BERNARD Morrison, nyota mpya wa Yanga amesema kuwa ataendelea kutoa burudani kwa mashabiki bila kuchoka kwani ni kitu anachokifikiria muda wote.

Morrison amecheza mechi mbili na amefunga bao moja akiwa na asisti mbili, mechi yake ya kwanza ilikuwa ni ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida United na Yanga ilishinda mabao 3-1 alitoa asisti kwa Niyonzima na mchezo wa pili ulikuwa dhidi ya Tanzania Prisons ambao ulikuwa ni wa Shirikisho na Yanga ilishinda mabao 2-0.

"Mambo bado yanakuja kwani huu ni mwanzo, ninachofikiri ni kuona namna gani nitawapa burudani mashabiki na kucheza mpira kwa umakini zaidi ya hapa kwani mambo bado yanakuja," amesema.

7 COMMENTS:

  1. Aendelee Kutoka ahidi na huku myama akizidi kula nyama

    ReplyDelete
  2. ahadi ni kwa mashabiki wa Yanga tu simba mtulie kha!! hamtaaki hata watu wavute pumzi !!

    ReplyDelete
  3. hio bururdani haiwahusu simba,ni washabiki wa yanga tu pekee,ila nyie simba endeleen kupewa magoli ya Offside mpaka mchukue ubingwa,ndio maana mkifikaga kwenye game za kimataifa kufungwa tano nyie ni kawaida tu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ila tulifika robo na kumbuka hu mwaka nafas ni mbili t

      Delete
    2. Mlifika robo Kwa kupuliza madawa kwenye vyumba mnadhani nani hajui hilo?taarifa zenu tunazo

      Delete
  4. Huo uzushi wenu usioisha ndio unaokuponzeni mkachapwa mamilioni na huko Fifa na kwengineko mlipokwenda wanatazama Sheria ziliopo na sio mtakavo nyio na hapo ndipo mnapozidi kuonekana mwapenda malalamiko yasiyo na mashikio

    ReplyDelete
  5. Namuusudu kweli style ya ngoma mbwakachoka ama kweli kwa mkao huo wa kubenuwa wa kutisha Simba imekwisha

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic