January 30, 2020


UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa leo utapambana kupata pointi tatu mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa UwanjaUhuru.

Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amesema kuwa wanawatambua wapnzani wao watapambana kupata pointi tatu.

"Tunawatambua wapinzani wetu si timu ya kubeza ila tumejipanga kuona kwamba tunapata matoko mazuri kujiweka kwenye nafasi nzuri.

"Mashabiki wajitokeza kwa wingi kutupa sapoti tunaamini tunaweza kufanya jambo ambalo litakuwa na matokeo kwetu na mashabiki pia," amesema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic