February 11, 2020


Baada ya tetesi kuzagaa kuwa mama wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ndiye chanzo cha staa huyo kubadili wanawake kama nguo, baba yake mzazi, Abdul Juma amemtaka kuchagua mwanamke wa kumuoa.

Akistorisha na Amani, Baba Diamond alisema muoaji ndiye anayetakiwa kuchagua mwanamke wa kuoa mwenyewe, hivyo Diamond asikubali kuchaguliwa au kuyumbishwa na mtu yeyote kuhusu mwanamke wa kumuoa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic