YANGA leo imemshusha Bongo, Carraca Antonio Domingoz Pinto ambaye alikuwa Mtendaji Mkuu (General Manager) wa Klabu ya Benfica ya Ureno kwa muongo mmoja (miaka 10) ili kuanza kazi ya kushauri kueleka Mabadiliko ya kimfumo ya uendeshaji wa Klabu.
Nguli huyo wa mfumo wa Soka la Kisasa ameletwa kwa hisani kubwa ya Gsm ambao ni wadhamini wa Yanga.
Leo amepokelewa na Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM Mhandisi, Hersi Said, Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere terminal 3.
Hebu tusubiri tuone matokeo ya mipango hii ila nawapongeza kwa kwenda kimyakimya bila ya kelele za kwenye vyombo vya habari kabla jambo halijafanyika
ReplyDeleteAtafanya nini cha ajabu kwani hao ni vyura wa jangwani labda kuwatowa jangwani kuwapeleka kigamboni na atafukuzwa kimya kimya
ReplyDeleteKazi ya kufanya kampatie mama yako atakupatia majibu
DeleteIkiwa ni hivo ubingwa ni wetu
ReplyDelete