NYOTA wa muziki wa Soukous, Aurlus Mabele amefariki jana, jijini Paris Ufaransa, baada
ya kusumbuliwa kwa maradhi ya kiharusi (Stroke).
Mabele raia wa DR Congo alifikwa na mauti akiwa katika Hospitali ya Paris akiwa na miaka 67.
Taarifa za kifo cha mkongwe huyo zilitolewa na mwanamziki mwenzie ambaye rafiki yake Nyboma Mwandido ambaye aliliripoti katika Gazeti la Daily
Nation.
Marehemu alitamba na vibao, kibao kama
Evelyne, Waka Waka, Liste Rouge, Femme Ivoirienne, Africa Mousso na nyingine
kibao.
Masikini alale mahala pema peponi amin
ReplyDelete