BREAKING: EYMAEL AFUKUZWA KAZI YANGA UONGOZI wa Yanga umemfukuza kazi Kocha Mkuu wa timu hiyo, Luc Eymael kwa vitendo vyake visivyo vya kiuungwana. Taarifa kutoka Yanga:-
Kwa maneno ya kibaguzi aliyotoa, kwakweli haitoshi tu kumfukuza ni makosa sana kwenye soccer kutoa maneno ya kibaguzi kama hayo.
ReplyDeleteWengine hatukusikia hayo maneno,kwa faida yetu sote mnaweza kutupa japo kwa uchache tu tuweze ku judge
DeleteKumfukuza haitoshi kabisa!
ReplyDeleteNi kawaida yke kutimuliwa hyo kocha, nidhamu sifuri poleni utopolo " lkn isije ikawa 4G ya SIMBA mkazuga mkazuga nidhamu"?
ReplyDelete