GLOBAL TV imepiga stori shabiki kindakindaki wa Yanga, Mzee wa Utopolo, kuhusiana na mwenendo za klabu yake ya Yanga.. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
GLOBAL TV imepiga stori shabiki kindakindaki wa Yanga, Mzee wa Utopolo, kuhusiana na mwenendo za klabu yake ya Yanga.. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
Fukufuku kama hawa ndo huwa chanzo cha migogoro kwenye hizi timu mbili
ReplyDeleteAnavyoongea tu anaonesha ametoka Njombe juzi na kuvamia jiji ndo maana anaropoka tu.
Mna uthibitisho au ni kuchanganyikiwa nq vipigo vya timu yenu
ReplyDeleteHili nalo hili lijitu
ReplyDeleteUTOPOLO ANA MACHO MANNE SI UNAONA MIWANI MIWILI HIYO? SASA KWANINI ASIIJUE YANGA ZAIDI
ReplyDeleteMashabiki maandazi, ukiona mtu ana msupport huyu(Utopolo) ni wazi atakuwa upande wa pili asiejua mpira, mgogoro kwake ni faida, lkn Tukumbuke hakuna Yanga au Simba imara bila kuwa na upinzani imara.
ReplyDeleteThat is Simba imara hujengwa na Yanga imara na kinyume chake ni sahihi.
Kwahiyo wanaofurahia mgogoro wa Yanga hawajui impact yake