March 12, 2021

 

SHIRIKISHO la soka la kimataifa (FIFA), limefuta pingamizi la kutofanya kazi nchini Afrika kusini kwa aliyekuwa kocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael.

Eymael alifikwa na maamuzi hayo kutoka kwa Chama cha soka cha Afrika Kusini (SAFA), mwezi Julai mwaka jana. 

Kutokana na kauli hiyo, Yanga walisitisha mkataba wa kocha huyo na kutakiwa kuondoka nchini haraka, jambo ambalo alilitekeleza huku mashauri mengine yakibaki kuwa chini ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF).


5 COMMENTS:

  1. huyu Kocha hakuwa na kosa ila alihukumiwa kwa kusema ukweli

    ReplyDelete
  2. sio kocha kabisa bali tatizo ilo

    ReplyDelete
  3. Tatizo la Bongo kila mtu ni kocha na kila mtu ni mchambuzi wa soka mdomo mwingi na ujuaji mwingi tu hamna kitu hapo waamuzi njaa kali tff walafi tu.

    ReplyDelete
  4. pongezi FIFA...hana makosa huyo..na alisema ukweli kuhusu Yanga...kweli kabisa na hata sasa tunaona

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic