April 21, 2021

 


RUVU Shooting iliyo nafasi ya 8 na pointi 34 baada ya ucheza mechi 25 v Mwadui FC, iliyo nafasi ya 18 na pointi 16, Uwanja wa Mabatini.

Polisi Tanzania iliyo nafasi ya 7 na pointi 34 v Mbeya City, iliyo nafasi ya 17 nz pointi 21, Uwanja wa Ushirika, Moshi.

Kagera Sugar iliyo nafasi ya 14 na pointi 27 v Simba iliyo nafasi ya pili na pointi 52, Uwanja wa Kaitaba.

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic