Klabu ya Simba imefuzu Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika na kujihakikishia kuongoza kundi, baada ya kuifunga AS Vita katika Uwanja wa Mkapa na kufikisha pointi 13.
FT: Simba SC 4-1 AS Vita
Miuissone 30'
Zemanga 32'
Chama 45' 83'
Bwalya 66'
vipi utopolo....je na leo Simba wametengeneza majibu positive ya korona mangapi..6..7 Hebu Yanga:tuambieni leo wachezaji wangapi wa AS Vita hawajacheza sababu ya hujuma za Simba?
Kwa hiyo Saleh Jembe ndiyo hii imekuwa habari kikomo..Hamjui Simba imefuzu na Hata mechi ya mwisho wakifungwa bado wataongoza kundi..acheni roho mbaya..basi furahini timu yenu imepata nafasi ya kimataifa kupitia mgongo wa Simba
Simba inapiga mashuti Kama pele tunapaa anga za juu nakuwaacha wengine macho Kodo! 😲😲😲 Tunasepa kukuchukua kikombe Cha caf na tff vyote vyetu.
Jonas Mkude anapoteza sana pasi lakini pia C. Chama jr. anachelewa sana kumwaga upupu. Lakini pamoja na hayo ushindi upo wazi
ReplyDeleteTunayaweza haya yote kutoka kwa yule atutiae nguvu, Mola. Asante Mungu, asante Simba, Asante Tanzania
ReplyDeleteAmeen
DeleteMgalu nibora awe anaanza sub, anachelewesha ushindi, pamoja na hayo hongera sana kwà kuingia robo fainali simba oyeee!
ReplyDeleteKama sio kukosa utulivu kwa Mugalu, wale jamaa wangeoga si chini ya goli 8
Deleteofficially Yanga ni wa kimataifa mwakani...wakashukuru sasa
ReplyDeleteTutawafunga kwa kuanzia...
Deletevipi utopolo....je na leo Simba wametengeneza majibu positive ya korona mangapi..6..7 Hebu Yanga:tuambieni leo wachezaji wangapi wa AS Vita hawajacheza sababu ya hujuma za Simba?
ReplyDeleteMbona Ruvu tu wanawatosha?
DeleteKwa hiyo Saleh Jembe ndiyo hii imekuwa habari kikomo..Hamjui Simba imefuzu na Hata mechi ya mwisho wakifungwa bado wataongoza kundi..acheni roho mbaya..basi furahini timu yenu imepata nafasi ya kimataifa kupitia mgongo wa Simba
ReplyDeleteSimba inapiga mashuti Kama pele tunapaa anga za juu nakuwaacha wengine macho Kodo! 😲😲😲 Tunasepa kukuchukua kikombe Cha caf na tff vyote vyetu.
ReplyDelete