April 13, 2021


RAUNDI ya tano ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (16 bora) itapigwa mwishoni mwa mwezi huu kati ya Aprili 28 hadi Mei 02, kama ifuatavyo. 


28/04/2021 

Rhino Rangers vs Arusha FC. 



29/04/2021

Biashara United vs Ruvu Shooting. 

Azam FC vs Polisi Tanzania. 


30/04/2021

Mwadui FC vs Coastal Union. 

Tanzania Prisons vs Yanga SC. 

01/05/2021

Dodoma Jiji vs KMC. 

Simba SC vs Kagera Sugar. 

02/05/2021

JKT Tanzania vs Namungo FC. 

Awali mechi hizi zilipangwa kuchezwa kati ya 2-4 Aprili lakini ziliahirishwa kupisha kipindi cha maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Karume.

6 COMMENTS:

  1. John Pombe Karume, mkiambiwa mnakurupukaga mtabisha?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hivi huyu meandishi amesomea hii kazi anayoifanya kweli?

      Delete
    2. Kukosea kawaida mbona hata nyie mmekosea wakwanza badala ya kuandika mtabisha ameandika m tabisha ,wapili baadala yakuandika muandishi umeandika meandishi.

      Delete
    3. Kukosea kawaida mbona hata nyie mmekosea wakwanza badala ya kuandika mtabisha ameandika m tabisha ,wapili baadala yakuandika muandishi umeandika meandishi.

      Delete
    4. Kuna kukosea na kupotosha
      Mwandishi amepotosha. Mtu asiyejua kuwa maombolezo yalikuwa kwa ajili ya Marehemu Rais John Pombe Magufuli ataelewa moja kwa moja alikuwa ni John Pombe Karume. Upotoshaji!!!

      Delete
    5. Hii blog tunasoma mara kwa mara upotoshwaji wa habari na hawaombi radhi kwa kudhihirisha kiburi chao.

      Delete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic