April 17, 2021


CHEKI rekodi za Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina ndani ya ligi kwa msimu wa 2020/21.

Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabiti, ikiwa nafasi ya pili na pointi zake 50 baada ya kucheza jumla ya mechi 26.

Mambo yalikuwa namna hii kwa upande wa matokeo:-

Azam FC 1-0 Polisi TZ

Azam FC 2-0 Coastal Union

Mbeya C 0-1 Azam FC

TZ Prisons 0-1 Azam FC

Azam FC 4-2 Kagera Sugar

Azam FC 3-0 Mwadui FC

Ihefu SC 0-2 Azam FC

Mtibwa FC 1-0 Azam FC

Azam FC 1-1 JKT TZ

Azam FC 3-0 Dodoma Jiji

KMC FC 1-0 Azam FC

Azam FC 0-1 Yanga SC

Biashara 1-1 Azam FC

Gwambina FC 0 - 0 Azam FC

Azam FC 2-2 Namungo FC

Azam FC 2-2 Ruvu Shooting

Polisi TZ 0-1 Azam FC

Simba SC 2 - 2 Azam FC

Coastal Union 2 - 1 Azam FC

Azam FC 2 - 1 Mbeya City

Azam FC 0 - 0 TZ Prisons

Kagera Sugar 1 - 2 Azam FC

Mwadui FC 0 - 0 Azam FC

Azam FC 3 - 0 Ihefu FC

Azam FC 2 - 0 Mtibwa FC

JKT TZ 0 - 1 Azam FC


Watupiaji


Dube - 10

Nado - 7

Lyanga- 7

Chirwa - 4

Niyonzima - 1

Dijodi - 1

Sure Boy - 1

Morris - 1

Mudathir - 1

Kader - 1

Amoah - 1

Braison -1



Pasi za mwisho


Dube - 6

Nado - 5

Tigere - 4

Mudathir - 4

Chirwa - 3

Djodi - 3

Lyanga - 2

Kangwa - 2

Sure boy - 1

Braison - 2

A.Niyonzima - 1

Zaydi - 1

Hamahama - 1


Makipa bila kufungwa


Mapigano - 7

Kigonya - 4

Maseke 3 

Haule - 1

1 COMMENTS:

  1. samahani umuhimu wa habari hii ni nini? ulikuwa umekosa cha kufanya...weka basi na matokeo ya Yanga na wafungaji? itakuwa rahisi hiyo kwani kuorodhesha mabao ya Simba ni kazi kweli...sio kila wazo unalofikiria ni habari?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic