April 21, 2021

SENZO Mbatha, Mshauri Mkuu wa Yanga kuelekea kwenye masuala ya mabadiliko amesema kuwa mchezo wa mpira ni kama Marathon kuna kupanda na kushuka hivyo bado wanaamini kwamba wanaweza kufanya vizuri kwenye mechi zao. Amezungumzia kuhusu kocha mpya kwa kueleza kuwa ni kocha mwenye uzoefu na wanaamini kwamba kila kitu kitakuwa sawa. 

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic