April 11, 2021


DIDIER Gomes, raia wa Ufaransa ambaye ni Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hesabu kubwa baada ya kutinga hatua ya robo fainali kwa sasa ni kwenye mechi za Ligi Kuu Bara.

Gomes aliendeleza pale ambapo aliishia mtangulizi wake Sven Vandenbroeck ambaye alibwaga manyanga baada ya timu hiyo kutinga hatua ya makundi.

 Ameongeza kuwa kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Al Ahly kwao hayakuwa matokeo mazuri licha ya wachezaji wake kufanya vizuri ila watajipanga vizuri kwa ajili ya hatua ya robo fainali.

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic