Mchezo wa kwanza walipokutana Uwanja wa Mkapa, ubao ulisoma Simba 1-0 Al Ahly hivyo mchezo huo kwa timu hizo mbili ambazo zimetinga hatua ya robo fainali unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.
AS Vita ambayo ilifungwa mabao 4-1 na Simba itamalizana na Al Merrikh iliyotoka kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 na A l Ahly na hizi mbili hazijatinga hatua ya robo fainali kutoka kundi A, salamu za balozi wa Simba hizi hapa
0 COMMENTS:
Post a Comment