May 6, 2021

3 COMMENTS:

  1. Ok Yanga tuwe tumeshinda hatujashinda mechi ya tarehe 8 may tusikubali kucheza mechi mpaka Simba awe amecheza na Mbeya City na Ruvu Shooting mambo eti ya Kimataifa ni uhuni na hapa kwetu yaliisha miaka 4 iliyopita Simba wanapumzika muno na wanachagua wakati na muda wa kucheza Ligi ,kwa Hilo hongera TFF by Taifa Stars hata ikipangwa na Wanawake wa Nigeria itatolewa tu/Akhasante KARIA friends of Simba

    ReplyDelete
  2. Wewe kweli ushabiki umekuzidi.Mbona hulalamikii Namungo wamecheza mechi 23?Simba wamecheza mechi 6 ndami ta mwezi wa April pekee.May 1 wamecheza mechi moja.Huko kupumzika na kubebwa wamebebwa na nani?Mbona mlipokuwa mnaongoza ligi kelele hizo hatukuzisikia?Kila mtu ashinde mechi zake. HAKUNA kulalama.

    ReplyDelete
  3. Muekeze huyo Utopolo. VISINGIZIO vimeanza.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic