BAADA ya kufunga bao lake bora la msimu mbele ya Namungo, kiungo Bernard Morrison amempigia simu bosi wake wa zamani ishu ni suala la kesi yake ile ya utata wa mkataba.
Utopolo hamjaambulia ushindi kwa Namungo msimu huu, mmeambulia pointi mbili tu, yaani sare zote. Unaanzaje kuidharau Namungo iliyokudondoshea point nne katika msimu? Lakini pia Namungo aliiwakilisha Tanzania katika kombe la Shirikisho barani Afrika, wakati Uto mlikuwa mnapokea wageni
Namungo?ingekua kaizer chiefs tungesema sawa.haaaa aibu tupu
ReplyDeleteUtopolo hamjaambulia ushindi kwa Namungo msimu huu, mmeambulia pointi mbili tu, yaani sare zote. Unaanzaje kuidharau Namungo iliyokudondoshea point nne katika msimu? Lakini pia Namungo aliiwakilisha Tanzania katika kombe la Shirikisho barani Afrika, wakati Uto mlikuwa mnapokea wageni
DeletePovu ruksa
DeleteYanga amkandie Namungo wakati hawajawahi kumfunga hata mara moja.
ReplyDeleteSi nyie mnanunua waamuzi
DeleteNa wewe nunua
Delete