BREAKING: KOCHA YANGA ABWAGA MANYANGA MAZIMA BREAKING:ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa timu ya Yanga Princess, Edna Lema amejiuzulu nafasi yake ndani ya timu hiyo.Taarifa iliyotolewa Yanga imeeleza namna hii:-
Huu mwaka wenu wa kutimuwa, kukimbiwa na kuonewa kama mnavodai wenywe
ReplyDeletehuyo ameshindwa kutuletea kombe tangu awe kocha sasa kwa nini asitimuliwe?.
ReplyDeleteHuenda ikawa hajalipwa maslahi yake kwa muda murefu
ReplyDeleteBora kuliko kutegemea hela za ukoo
ReplyDeleteHizo za GSM ni za babako?
Delete😄😄 hawana hela hawana hela hawa jamaa mbwembwe nyingiii, matokeo wanakimbiana
DeleteAtakuwa anaenda Simba huyooo
ReplyDelete