Mbissa ameongeza kuwa kesho wataingia kwenye mchezo huo kama fainali licha ya kuwa kwenye mstari wa kushuka daraja kwa msimu wa 2020/21.
Ameongeza kuwa kosa ambalo alifanya na kufungwa kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga ameshasahau na ameandaliwa kisaikolojia.
Hiyu lofa kesho nina hakika anatoa tena zawadi kwa utopolo. Kama aliweza kuuza mechi mbele ya washabiki wake shinyanga, atashindwaje kuiuza kesho hapa mbele ya wananchi?
ReplyDeleteTatizo lako ni kuwa na simu ya kupewa na shemeji yako...ndio maana unacomment ulojo tu.....auze mechi kwa sababu gani na why kwa yangu....... Tz prison hawakuwauzia mechi Kama kule luangwa ety
DeleteWewe uliona lile goli alilofungwa kule shinyanga au unacomment tuu? Halafu andika vizuri basi, Ruangwa sio Luangwa
ReplyDelete