June 19, 2021



FT: Polisi Tanzania 0-1 Simba
Kipindi cha pili 
Zinaongezwa dakika 3
Dakika ya 90 Nyoni anachezewa faulo 
Dakika ya 86 Mohamed anaokoa shuti la Luis, inapigwa kona haileti matunda 
Dakika ya 85 Kassim anaonyeshwa kadi ya njano 
Dakika ya 77 Dilunga anaingia Mzamiru anatoka
Dakika ya 76 Kagere anakosa nafasi ya wazi ndani ya 18, Manula anaonyeshwa kadi ya njano 
Dakika ya 72 Manula anaokoa kichwa cha Mdamu
Dakika ya 71 Lwanga anaonyeshwa kadi ya njano 
Dakika ya 68 Yondan anapewa huduma ya Kwanza 
Dakika ya 59 Nyoni anaingia anatoka Bwalya
Dakika ya 56 Wawa anacheza faulo kwa Kassim
Dakika ya 52 Bocco anachezewa faulo 
Dakika ya 52 Mugalu anatoka anaingia Kagere
Dakika ya 50 Mugalu anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 49 Makame anachezewa faulo 
Mdamu anaingia anatoka Tariq Seif kwa Polisi Tanzania ikiwa ni kipindi cha pili
Mapumziko Uwanja wa CCM Kirumba
Uwanja wa CCM Kirumba 

Zinaongezwa dakika 2
Dakika ya 45 Pato anapeleka mashambulizi Simba
Dakika ya 44 Tshabalala anapeleka mashambulizi Polisi Tanzania 
Dakika ya 43 Hassan Nassoro anapeleka mashambulizi kwa Manula
Dakika ya 42 Luis anasepa na kijiji ndani ya 18
Dakika ya 41 Wawa anapeleka mashambulizi Polisi Tanzania 
Dakika ya 39 Hassan Nassoro anaonyeshwa kadi ya njano

 UWANJA wa CCM Kirumba, mchezo wa Ligi Kuu Bara 

Polisi Tanzania 0-0 Simba
Dakika ya 27, Luis Miqussone gooooooal
Dakika ya 19, Mugalu na Mzamiru wanamchezea  faulo Makame, anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 12 Juma Ramadhan anapeleka mashambulizi kwa Manula.
Dakika ya 17 Bocco anacheza faulo kwa Datius Peter
Dakika ya 13 Mugalu anachezewa faulo na Yondani 
Dakika ya 11 Luis anapiga faulo inaokolewa na Mohamed
Dakika ya 10 Makame anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 8 Kapombe anamchezea faulo Kassim

Dakika ya 7 Daruesh Saliboko anatengeneza nafasi nzuri  anakosa nafasi Tariq Seif ndani ya 18 baada ya Manula kudaka

Dakika ya 5 Simba wanapata kona inapigwa na Luis Miquissone inaokolewa na mabeki wa Polisi Tanzania 

Dakika ya 3 Simba wanapata faulo nje kidogo ya 18 baada ya Makame kuunawa mpira uliopigwa na Mzamiru Yassin. 


Dakika ya 2 Bwalya anapiga shuti linakwenda nje ya lango


Mchezo wa kwanza walipokutana Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Simba 2-0 Polisi Tanzania

4 COMMENTS:

  1. Vipi matopo, bado ubingwa hauna mwenyewe. Tutaonana hapo tarehe 3 ila mukiingia mitini ka wazee wenu walivoamuwa. Rahaaaa

    ReplyDelete
  2. Bado match mbili tufunge biashara.Simba oyeeeee.Utopolo walisema mwaka huu ubingwa ni wao,Sasa sijui watawaambia Nini fans who.Nimeamini Tanzania Simba Hana mpinzani.level zetu ni As Vita,Kaizer Chiefs,Mazembe,Al Ahly na other African club giants

    ReplyDelete
  3. Mimi nawambia Matopolo, msimlipe mganga eenu vhochote kwasababu hirizu zake zote kazila Simba mwenda kimya na hakuna alichosaidia kwa miaka mine mfululizo. Matopolo wamenweya vichwa mifukoni wamebadili msjina, wapiii haijasaidia kitu

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic