VIDEO: METACHA MNATA HAJALIPWA YANGA, ISHU YAKE SIMBA MENEJA AFUNGUKA
MENEJA wa kipa wa Yanga, Metacha Mnata ambaye ni Jemedar Said amesema kuwa mchezaji wake huyo anawadai mabosi wake kwa muda mrefu na alicheza msimu uliopita bila kulipwa. Pia meneja huyo amesema kuwa alimwambia Mnata alichokifanya hakikuwa kizuri.
ToT ToT ToT ToT ToT ToT
ReplyDeleteHii yaweza kuwa kweli, wachezaji hawalipwi ndomaana wanagoma nakucheza chini yakiwango. Mashabiki twaumia uongozi uangalie hili
ReplyDeletetatz viongoz washaona mashabik wao vilaza basi wanawalisha matango poli
ReplyDeleteSuala la malipo litaturudisha nyuma sana yanga. Viongozi wao hudhani baada ya mauzo ya ticket. Jezi. Nk nk pesa ni kutia mifukoni. Wanasahau wateja #1 ni wachezaji. Mnatutia aibu viongozi yanga. Watizameni wenzetu simba
ReplyDeleteWakati Mnata hajalipwa msimu mzima huku Yanga wanafanya usajili wa kufuru? Inakera Kama sikutia kichefuchefu kwa mtoto wa kiume.
ReplyDelete