July 19, 2021

4 COMMENTS:

  1. Maneno yako HAJI MANARA uwa yanawapa nguvu wachezaji wa Yanga, yanawaongezea fighting spirit kubwa sana, ukweli uwa una mrahisishia sana kocha wa Yanga kazi, ushindi ilioupata Yanga tarehe 3 dhidi ya Simba pongezi nyingi zilipaswa upewe uliewapa morali wachezaji wa Yanga kwa kuwaita takataka dhidi ya wachezaji wa Simba. Bila shaka jamaa wamekusikia na mechi hii watakaza zaidi mpaka uwaheshimu.

    ReplyDelete
  2. Ni vizuri kama timu zote zitakaza, kwa hiyo mbinu za kiufundi ndio zitataeala, mwenye mbinu bora ( sio za kichaei au rushwa) na wachezaji mahiri atashinda

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic