August 3, 2021

5 COMMENTS:

  1. Simba: mbona mna weweseka juu ya Peter Banda??? Si mlisema Yanga hawana hela? Mkiwaita Gongo wazi, vyura, utopolo??? Mbona hamjiamini mbele ya maskini? Nyie si matajiri? Mbona mnaihofia Yanga? Yanga ni maskini hawana hela, mpaka wapitishe Bakuli. Peter Banda ana wafanya muanze kuielewa Yanga, umdhaniaye kumbe siye, ukijiona upo juu usijisahau jua wapo walio chini wanapambana kukufikia.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kivip mzee?acha kutoa povu kama unafua kwakutumia omo,unaweweseka mwenyewe sio simba.

      Delete
  2. Yanaweweseka mqgazeti yenu na redio zenu sio simba.mnacheza judo badala ya kucheza mpira,tim mwakinyo.

    ReplyDelete
  3. Duh utopolo shida, yaani Simba anaingiaje hapa, pambanapeni na hali zenu, mnataka Simba naye aanze kukimbia kimbia kama vitoto. Another level,

    ReplyDelete
  4. Takiribani 4 years mnafanya maigizo haya, je hamuoni aibu!!!

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic