IMEELEZWA kuwa kikosi cha Simba kimepanga kumpa dili mshambuliaji Abdulkhalid ikiwa ni mbadala wa Luis Miquissone ambaye anatajwa kuingia rada za Al Ahly ya Misri.
Simba hivi sasa wamekuwa wazee wa tetesi tu hakuna jipya. Simba imegubikwa na tetesi tu hakifahamiki nini kinaendeela wakati mwengine sio nzuri Sana. Suala la kuuzwa Miqisone limegubikwa na tetesi, suala la kuuzwa Chama limegubikwa na tetesi, masuala ya usajili yemegubikwa na tetesi inaweza ikaja ikabeki faya wasipokuwa makini wakati ndio huu wanatakiwa kufunguka kuendelea na masuala mengine kama ya simba day nakadhalika kama Yale ya maandalizi ya timu.kwa msimu mpya.
Huyo jamaa mbona anaonekana kama yikpe muwe makini mnaosajili musituletee mauza uza hatujazoea kukilihika mambo ya kukilihika yapo upande wa pili yani utopolo
Haya simba na yanga mwaka huu tutaona maana hata hatuoni usajili wa klabu nyingine lkn ndo maendeleo
ReplyDeleteSio Yikpe huyu!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteSimba hivi sasa wamekuwa wazee wa tetesi tu hakuna jipya. Simba imegubikwa na tetesi tu hakifahamiki nini kinaendeela wakati mwengine sio nzuri Sana. Suala la kuuzwa Miqisone limegubikwa na tetesi, suala la kuuzwa Chama limegubikwa na tetesi, masuala ya usajili yemegubikwa na tetesi inaweza ikaja ikabeki faya wasipokuwa makini wakati ndio huu wanatakiwa kufunguka kuendelea na masuala mengine kama ya simba day nakadhalika kama Yale ya maandalizi ya timu.kwa msimu mpya.
ReplyDeleteTetesi za kutunga za mwandishi sio za kutoka kwenye uongozi wa Simba
DeleteHuyo jamaa mbona anaonekana kama yikpe muwe makini mnaosajili musituletee mauza uza hatujazoea kukilihika mambo ya kukilihika yapo upande wa pili yani utopolo
ReplyDeleteHahahahahha dah et bilioni moja! Ila nyie acheni ufara bwana
ReplyDeleteSafi watani kama unauza kwa 2B halafu unanunua kwa 1B sio mbaya ila mkataba sasa uwe miaka 4 au zaidi
ReplyDelete