INAEELEZWA kuwa Klabu ya Yanga ipo kwenye hesabu za kumpa dili la miaka miwili kipa mwenye umri wa miaka 26 kwa ajili ya msimu ujao akiwa ni chaguo namba la Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi Kwa sasa Metacha Mnata huenda akasepa ndani ya kikosi hicho huku Faroukh Shikalo yeye bado yupo.
Si hoja kushusha kwa sababu mmeshashusha sana, lakini je vipi mshusho huo kweli mmekuwa sahihi katika mwenendo wenu mzima tokana na husiano zenu na idaraa zote nyengine kuhusu tatuzi za migogoro ya hapa na pale isiyokwisha badala ya kushugulikia maslahi ya timu. Ni muhimu kujisahihisha kuliko kujitita katika migogoro anbayo inasababisha hasara badala ya faida
ReplyDelete