Mshambuliaji wa Hertha
Berlin ya Ujerumani, Salomon Kalou amekuwa akifanya mazoezi ya kipekee wakati
wa mapumziko haya ya baridi.
Kalou aliyewahi kung’ara na
Chelsea, yuko New York, Marekani akishiriki mazoezi ya aina ya Yoga.
Taarifa nyingine zimeeleza
kwamba anaweza kuyatumia mazoezi hayo kwa vichwa vya kuchumpa.
Kalou raia wa Ivory Coast
amekuwa akifanya mazoezi hayo kwa kumshirikisha kaka yake pia.
Yoga humsaidia mtu
kupumzisha mwili, lakini ni mazoezi yanayofanya mwili wa mhusika kuwa laini na
lahisi kujikunja kwa kila namna.
0 COMMENTS:
Post a Comment