August 30, 2015


Yaya Toure analipwa pauni 220,000 akiwa na kikosi chake cha Manchester, hali ambayo inaonyesha kuumiza mioyo mingi ya Wazungu hasa Waingereza ingawa hawana kipaji kama chake.


Toure analipwa pauni 17,251 kwa siku ambayo ni sawa na Sh milioni 51 kwa shilingi ya Tanzania.


Si kwamba Toure analipwa tu, kazi yake ni ngumu kweli na imeendelea kuwa bora. Picha hizi mbili katika mechi dhidi ya Watford jana, zinaweza kuwa uthibitisho kwamba Braza anapambana kweli na anastahilia anacholipwa.


Angalia anavyochukua mkwanja kwa wiki, siku, saa. 


 MSHAHARA WA YAYA TOURE ULIVYO

 £220,000 kwa wiki
 £121,758 baada ya kodi kwa wiki
 £17,251 kwa siku
 £718.80 kwa saa
 £11.98 kwa dakika


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic